John 7:22-23

22 aLakini kwa kuwa Musa aliwaamuru tohara (ingawa kwa kweli haikutoka kwa Musa bali kwa baba zenu wakuu), mnamtahiri mtoto hata siku ya Sabato. 23 bIkiwa mtoto aweza kutahiriwa siku ya Sabato kusudi sheria ya Musa isivunjwe, kwa nini mnanikasirikia kwa kumponya mtu mwili wake wote siku ya Sabato?
Copyright information for SwhKC